Psalms 112:1

Baraka Za Mwenye Haki


1
Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
bMsifuni Bwana.

Heri mtu yule amchaye Bwana,
mtu yule apendezwaye sana na amri zake.

Copyright information for SwhKC